Kompyuta ni nini? Mtumiaji (User): Sehemu zisizoshikika
Swali hili lina majibu mengi kama ifutavyo:
Kompyuta ni mashine/kifaa:-
Kwa kifupi:-
Kompyuta ni mashine au chombo cha kielektroniki chenye
uwezo wakupokea taarifa, kufanya mahesabu, kushughulikia/kufanyia kazi na kutoa matokeo ya kazi hiyo na namna ilivyondeshwa, nakutoa matokeo ya kitu kilichofanyika/kinachoonekana.
Pia huhifadhi
taarifa na kuwasiliana na watu na kompyuta
nyingine. "Taarifa" inawezakuwa katika michoro, alama,
nembo, tarakimu, sauti au lugha ya maandishi.
Kompyuta imegawanyika katika sehemu kuu mbili:
Kimsingi mtumiaji ni mtu yeyote anayetumia kompyuta, lakini kiutaalamu inaleta maana kama mtumiaji angalao awe mwenye ufahamu wa msingi juu ya matumizi ya kompyuta.
Pia mtumiaji huwasilianana Programu (software) zilizomo ndani yake na zile programu huwasiliana na sehemu zinazoshikika (hardware) na hapo mfumo mzima wa kimatumizi hukamilika.
(software):
Ni muundo wenye mfumo wa maelekezo ambao hupewa kompyuta ilikufanya kazi maalumu.
Mfumo huu unaweza kugawanyika katika sehemu kuu mbili kama ifuatavyo:
Katika matumizi (applications) tunapata microsoft
word, kwa ajili ya kuandikia barua na nyaraka
mbalimbali, Excel na Access kwa ajili ya kupangilia/kuandalia
data na kufanyia mahesabu.
Hii inajumuisha Matumizi maalumu ya kiofisi (microsoft office), Mfumo wa ulipaji mishahara (payroll) na mfumo wa kihasibu (accounting system) na kadhalika.
Hii inajumuisha mfumo mzima wa undeshaji katika kompyuta.
Mfano wa mifumo (system) ni kama windows,Mac Operating System, dos.
Sehemu zinazoshikika
(Hardware):
Sehemu zinazoshikika (Hardware:)
Ni aina zote za vifaa
vya kielektroniki katika kompyuta.
Kuna aina tano za
vifaa vinavyoshikika:
Hivi vipo ndani ya chombo kiitwacho Central Processing Unit (C.P.U.) ambacho ndicho kinachounganishwa na skrini na kuwa skrini hupata maelekezo yote kutoka kwenye C.P.U.
C.P.U. ni sehemu kuu ya nguvu za kompyuta, au kitovu
cha kompyuta.
Hizi zina ni
sehemu zinayotunza kumbukumbu (Memory).
Utajifunza zaidi kwenye sehemu ya Vifaa.
Kwa mifano na maelezo zaidi bonyeza hapa.
Vifaa Vya Kompyuta
Namna ya kuwasha na kuzima kompyuta
Namna ya kuwasha kompyuta katika hatua ya mwanzo kabisa. Mbele yako ukiwa umeketi kuielekea kompyuta yako, unakuwa unatizamana na kompyuta yako. Pia unaweza kubonyeza sehemu ya chini ya skrini yako, mkono wako wa kushoto kwenye kitufe kilichoandikwa Anza (Start), pale utaletewa maneno mengi chagua na bonyeza neno Zima (Shutdown) na kiboksi chenye maelezo ya jinsi ya kufanya kitatokea.
Baada ya kuiunganisha kompyuta yako kwenye umeme, kilichobaki ni kuiwasha sasa.
Hapo unaona vitufe kadhaa ila muhimu zaidi ni kuwa kuna kitufe kimoja kwenye C.P.U na kingine kwenye Skrini/Monitor, hivi viwili ni lazima uhakikishe vimewashwa ili kompyuta yako ifanye kazi.
Kuwasha upya Kompyuta yako
(Restarting your Computer)
Kuwasha upya: Hii hufanywa pale ambapo kompyuta yako inashindwa kufanya kazi vizuri au kukwama (stuck).
Mara nyingi huwa kunakuwepo na kitufe kidogo kwenye C.P.U ambacho hutumika kuwashia upya kompyuta yako.
Njia nyinginezo utajifunza hapo baadaye.
(A Shut Down Windows dialog box will appear)
Bonyeza neno zima (Shut Down), na maelezo yatakayojitokeza tena kukutaka uthibitishe kama kweli una uhakika kuwa unataka kuizima kompyuta yako au unataka kuanza upya (Restart), chagua neno Anza upya (Restart).
Namna ya kuizima kompyuta yako:
(Shutting Down Your Computer).
ya kufanya kitatokea.
(A Shut Down Windows dialog box will appear)
na cha kwenye CPU kuzima.
Mtandao/Network
Kama unatumia au umekuwa unatumia kompyuta katika mtandao mfanoChuoni/kazini/au taasisi za juu za elimu bonyeza hapa chini ili upate mafunzo juu ya mtandao huo
Bonyeza hapa
Mafunzo juu ya mtandao /Network
[Endelea (Next)-Vifaa]